'Watanzania changamkieni fursa bomba la mafuta'

KATIBU wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa amewahimiza wafanyabiashara nchini, kujiunga katika vikundi ili kupata sifa za kuzitumia vema fursa katika mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Tanga..

...endelea kusoma

Watanzania wahamasishwa fursa bomba la mafuta

WAFANYABIASHARA nchini wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika Mradi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Kabale Hoima, Uganda hadi Chongoleane Tanga, Tanzania kwa vile asilimia 80 ya bomba hilo litapita nchini.

...endelea kusoma

Viazi lishe; zao lenye faida maradufu

UTAPIAMLO unaelezwa kuwa ni upungufu wa viini lishe mwilini, na unaelezwa kuwa tatizo la kiafya linaloathiri watoto chini ya miaka mitano, wajawazito, wanaonyonyesha na hata wazee, kutokana na mahitaji ya lishe kuwa makubwa kulinganisha na makundi mengine.

...endelea kusoma

Veta inavyofungua fursa za ajira kwa vijana

JINA VETA (Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi) ni maarufu miongoni mwa Watanzania wengi kutokana na kuakisi ufundi stadi. Katika makala haya, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Dk Bwire Ndazi, anaeleza nafasi ya mamlaka katika kufungua fursa za ajira kwa vijana nchini.

...endelea kusoma

Dk Yonazi ataka wananchi waelimishwe fursa zilizopo

MHARIRI Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Dk Jim Yonazi ametaka wananchi wahabarishwe juu ya fursa zilizopo ili kufikia uchumi wa viwanda.

...endelea kusoma

Mbinu, kanuni za kufanya biashara

WATU wengi wanapoanza kufanya biashara wanakuwa hawafanyi utafiti wa kutosha, matokeo yake biashara wanazozianzisha zinakufa. Hivyo basi, biashara unayoifanya ni vema ukazingatia vitu mbalimbali kabla ya kuifungua, ikiwamo eneo la biashara, samani pamoja na muonekano wake kwa wateja wako.

...endelea kusoma

Kubadili biashara si kosa, yatakiwa umakini

"INAWEZEKANA una sababu za msingi za kuacha biashara uliyoianzisha na kuidumisha kwa kipindi fulani. Kufanya hilo si kosa, ilimradi uamuzi wako usiwe wa kukurupuka, ili usikusukume kujuta baadaye."

Hivyo ndivyo unavyoeleza mtandao wa majibu www.answers.com, ukitoa maelezo mbalimbali kuhusu sababu za msingi zinazoweza kumfanya mfanyabiashara aachane na biashara moja na kuigeukia nyingine, bila kujali kuwa ya awali anayoiacha ilimgharimu muda na fedha nyingi za mtaji.

...endelea kusoma

Wajasiriamali Uyui wakopeshwa mil. 70/-

VIKUNDI zaidi ya 65 vya wajasiriamali wadogo kutoka katika kata zote wilayani Uyui mkoani Tabora, vimewezeshwa mikopo midogo ya zaidi ya Sh milioni 70 katika robo ya kwanza na ya pili ya mwaka wa fedha wa 2016/2017.

...endelea kusoma

Wabunge wafundishwa uwekezaji

SERIKALI imewataka wabunge kuielewa dhana ya ushiriki wa Watanzania katika uwekezaji (Local Content) ili wawe mstari wa mbele kuwaelimisha wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi na uwekezaji nchini.

...endelea kusoma

‘Wapeni wananchi elimu ya mikopo, msikae ofisini’

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango, amewataka watendaji wakuu na wafanyakazi wa idara za mikopo za benki, taasisi za fedha na mifuko ya kijamii kote nchini, kuacha kukaa ofisini na badala yake kwenda vijiji kutoa elimu kwa wananchi juu ya fursa za kukopa ili wajiinue kiuchumi.

...endelea kusoma