Fursa mbalimbali kwa wajasiriamali Katika masuala ya Kilimo
Fursa mbalimbali kwa wajasiriamali Kutoka mikoani
Fursa mbalimbali kwa wajasiriamali katika kusafirisha bidhaa nje ya nchi
Fursa mbalimbali kwa wajasiriamali katika Kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi
Mradi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Kabale Hoima nchini Uganda hadi Chongoleane Tanga umefungua na utafungua fursa nyingi kwa watanzania. Hii ni kutokana na ukweli kuwa asilimia 80 ya bomba hilo litapita Tanzania.