Mjasiriamali ni mtu wa aina gani? (Sifa za Mjasiriamali)
|
- Ni mtu ambaye anaanzisha na kumiliki biashara
- Ni mtu ambaye yupo tayalia kuthubutu
- Ni mtu ambaye ni mbunifu
- Ni mtu jasiri asiyeogopa kushindwa
- Ni mtu ambaye kila siku anatafuta njia mpya za kuzalisha na kuleta mabadiriko mapya
- Ni mtu mvumilivu
- Ni kiongozi
- Ni mshindani asiyekata tamaa
- Ni mtu ambaye anapenda kuwajibika na anafanya kazi kwa bidii
- Ni mtu anayetazama maisha ya mbele
- N mtu ambaye anaweza kubadirisha na kutumia nafasi kama fulsa.
- Ni mtu ambaye anahitaji na anahamu ya kupata mafanikio
- Ni mtu ambaye anaweza kujitegemea.
|
Je wewe unasifa hizo hapo juu? Hata kama hauna sifa zote zilizoorodheshwa hapo juu, bado unaweza kuwa Mjasiriamali.
Chanzo: http://gjobu.blogspot.com/2012/04/dhana-na-asili-ya-ujasiriamali.html (Mwandishi: George Jobu)