Sifa za Mjasiriamali

Mjasiriamali ni mtu wa aina gani? (Sifa za Mjasiriamali)

 

 

  • Ni mtu ambaye anaanzisha na kumiliki biashara
  • Ni mtu ambaye yupo tayalia kuthubutu
  • Ni mtu ambaye ni mbunifu
  • Ni mtu jasiri asiyeogopa kushindwa
  • Ni mtu ambaye kila siku anatafuta njia mpya za kuzalisha na kuleta  mabadiriko mapya
  • Ni mtu mvumilivu
  • Ni kiongozi
  • Ni mshindani asiyekata tamaa
  • Ni mtu ambaye anapenda kuwajibika na anafanya kazi kwa bidii
  • Ni mtu anayetazama maisha ya mbele
  • N mtu ambaye anaweza kubadirisha na kutumia nafasi kama fulsa. 
  • Ni mtu ambaye anahitaji na anahamu ya kupata mafanikio
  • Ni mtu ambaye anaweza kujitegemea.

 

Je wewe unasifa hizo hapo juu? Hata kama hauna sifa zote zilizoorodheshwa hapo juu, bado unaweza kuwa Mjasiriamali.

Chanzo: http://gjobu.blogspot.com/2012/04/dhana-na-asili-ya-ujasiriamali.html (Mwandishi: George Jobu)